Kati ya Analyse na Umughaka yupi mkali katika simulizi?

Kati ya Analyse na Umughaka yupi mkali katika simulizi?

Naomba link ya story zake kali..

Kwavile hii bado inaendelea, ngoja aanze nayo Lovelovie
 
Inakuwaje wanaJamiiForums

Kutoa appreciation ni jambo zuri hususa kwa yule mtu ambae amejitolea kutoa simulizi bila ya malipo yoyote lengo tujifunze, tuburudike, tuonyeke na vinginevyo

Haya masuala ya tunzo naamini kwao sio lengo kwao hasa ukizingatia yameanza juzi tu

Kama wew ni mtu wa kufuatilia mikasa huwezi kukosa kuwajua watu hawa Analyse na UMUGHAKA

Naweza sema hawa jamaa kwasasa ndio best story teller haijalishi iwe uhalisia ama sio ila uandishi wao, namna ya kuhadithia, upangiliaji wa matukio unaona kabisa kuna upekee ndani yao, inafika hatua hadi watu wanakuwa na addiction na story zao[emoji23][emoji23]

Wote ni wakali ila yupi ni mkali zaidi kwa upande wako?
Hapo mumeo ni yupi kati ya hao wawili?
 
Mimi wote sijawahi kuwasoma hata mmoja naona tu stori zao zinatrend ,siku nitatulia nianze kuzifuatilia kwa umakini.
Anza na analyse,

Kuna Ile scene Ile ya shule boarding kupigwa SP Kuna sehemu Na mm nta add knowledge niisimulie kisa Cha dogo Fred na mzee wake Huwa natamani niisimulie.....

All in all Kuna ma father wapogo kama mzee wake na Analyse....
 
Kwangu mimi
1. DeepPond
2. Analyse
3. SteveMollel
4. UMUGHAKA

Haya ni maoni yangu tu sitaki shobo.
Mimi najiona nipo kama yule KIPOFU, ambaye alibahatika kuona ukubwani, tena kwa muda mfupi, na kukutana na PUNDA, kisha macho yake yakafumba tena. Basi yeye, kila kitu akiambiwa, anauliza kinafanana na PUNDA?
Mimi hapa JF nimesoma story za UMUGHAKA pekee! Sasa, kama wapo wadau wengine wakali mpaka kupambanishwa na huyu MWAMBA wangu, basi nao sina shaka ni wasimuliaji wazuri! Inanilazimu nami nizifukue hadithi zao!
 
Back
Top Bottom