Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba link ya story zake kali..
ThawaSijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
Hii simulizi, kwa namna moja au nyingine, ina link na simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa jukwaani Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha... Maswali mengi ambayo hamkuyapatia majibu kwenye simulizi ile, basi mtayapata kwenye hii ya sasa. Na mengine ambayo hamtoyapata humu, pengine...www.jamiiforums.com
Kwavile hii bado inaendelea, ngoja aanze nayo Lovelovie
Hapo mumeo ni yupi kati ya hao wawili?Inakuwaje wanaJamiiForums
Kutoa appreciation ni jambo zuri hususa kwa yule mtu ambae amejitolea kutoa simulizi bila ya malipo yoyote lengo tujifunze, tuburudike, tuonyeke na vinginevyo
Haya masuala ya tunzo naamini kwao sio lengo kwao hasa ukizingatia yameanza juzi tu
Kama wew ni mtu wa kufuatilia mikasa huwezi kukosa kuwajua watu hawa Analyse na UMUGHAKA
Naweza sema hawa jamaa kwasasa ndio best story teller haijalishi iwe uhalisia ama sio ila uandishi wao, namna ya kuhadithia, upangiliaji wa matukio unaona kabisa kuna upekee ndani yao, inafika hatua hadi watu wanakuwa na addiction na story zao[emoji23][emoji23]
Wote ni wakali ila yupi ni mkali zaidi kwa upande wako?
Uko sahih kbsa haringi kwa Kweli na pia Ni msomaji wa story zingine za watu ila umughaka huwezi mkuta katk story yoyote ya mtu akiwa either kusoma au kulikeAnalyse mkareee sana afu harengee wala neneeee!![emoji3577][emoji3577]!!
Nakubali mkuu..... Mr JF-VAR 😅😅😅Huyu jamaa Analyse na DeepPond Ni wakali vibaya huwez kuta nawakozoa ktk story zao
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Anza na analyse,Mimi wote sijawahi kuwasoma hata mmoja naona tu stori zao zinatrend ,siku nitatulia nianze kuzifuatilia kwa umakini.
Pamoja master 👊👊
Mimi najiona nipo kama yule KIPOFU, ambaye alibahatika kuona ukubwani, tena kwa muda mfupi, na kukutana na PUNDA, kisha macho yake yakafumba tena. Basi yeye, kila kitu akiambiwa, anauliza kinafanana na PUNDA?
Cc.eric shigongo 🤓😄Big up kwa mkuu Analyse anajua kupanga characters vizuri sana. Bila kusahau vimstari fulani vya kuchombeza. Kila episode ina tukio kuu yani unaweza kuflow na story siku nzima ukasahau kula
Basi naomba uniambie basiWhat if ulikuwa wrong? [emoji28][emoji28]
[emoji23] Tena atachanganyikiwa vibaya sanaNa akitaka kuelewa, anaweza akachanganyikiwa [emoji28][emoji28]
Hutaki lift kufikishwa haraka?😂Usitufikishe uko basi kaka
Mi nafikiri, tatizo la story za UMUGHAKA ,sio urefu wa hadithi zake, bali vituo, vinakuwa vingi. Na vinachukua muda mrefu sana, mpaka kuendelea sehemu inayofuata!Analyse mkali sana stor inamwisho chap umugk stor utafkr series ya kihindi ndeefu mpaka inakosa uhalisia na utamu
Nipo na uoga na lift za watu [emoji23]Hutaki lift kufikishwa haraka?[emoji23]