Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Unanisagia kunguni sio 😅[emoji23] [emoji23] Maana kila story ukiitwa utarudi baadae
Mniite tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanisagia kunguni sio 😅[emoji23] [emoji23] Maana kila story ukiitwa utarudi baadae
Bonyeza hapo kwa profile ya analyse utaona post zakeNaomba link mkuu
Utakuta wenzio tushaondoka oohNipo lakin huwa naudhuria kwa kuitwa. Sijaingia tangu jmosi nadhani
Imagine nipokee cm ikiwa loudspeaker, alaf watu wasikie naitwa apostle? Picha gani itawajia? 😅😅😅Aahhaaaha
Tena akiliita Mzee Dingi linapendeza sanaaa
Kuna sehemu nimekusoma mpaka nimetamani kujua una fananaje yaani😅😅Kishule shule ni kama somo la michezo, hadi watoro walikuwa hawakosi shule siku ya ilo Somo 😅😅😅
TapeliIMMa
Imagine nipokee cm ikiwa loudspeaker, alaf watu wasikie naitwa apostle? Picha gani itawajia? 😅😅😅
Raia wamekuzoom sana kumbe 😅😅😅Sio kule kwa aposto jamani 🥺
Mniitege nimekoma na kauli hiyo
Wapi huko tena??? 😅😅😅Kuna sehemu nimekusoma mpaka nimetamani kujua una fananaje yaani😅😅
Shunie ananisagia kunguni. Napenda story nzuri ila mda wangu wa kukomaa nazo ni usiku mnene ndio maana huwa naweka alama.Raia wamekuzoom sana kumbe 😅😅😅
Ahsante mkuu....Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
Hii simulizi, kwa namna moja au nyingine, ina link na simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa jukwaani Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha... Maswali mengi ambayo hamkuyapatia majibu kwenye simulizi ile, basi mtayapata kwenye hii ya sasa. Na mengine ambayo hamtoyapata humu, pengine...www.jamiiforums.com
Kwavile hii bado inaendelea, ngoja aanze nayo Lovelovie
Ile story yako ya Naitwa Analyse😅😅Wapi huko tena??? 😅😅😅
😅😅😅Wanaweza hisi nimeanzisha kanisa tayariTapeli
Watajua tayari Kuna tapeli anataka kutupiga
Nimeona notifications kibao leo, uko busy nayo tu 😅😅😅Ile story yako ya Naitwa Analyse😅😅
Ahahahah mi ndo yule chawa wake ranga....🎶🎶🎶🎶Usijali ngoja tumuulize mzee wa chabo Poor Brain atupe connection
Analyse pamoja na uvivu wangu kusoma story ila zake zinachekesha na kuvutia kuendelea kusoma japo wengine wapo vizuri.
Yaani hata nikuweke kundi gani la mtoto mtukutu au mkorofi wa enzi hizo 🤨😀😀Nimeona notifications kibao leo, uko busy nayo tu 😅😅😅
Hata sijui naogopa au vipi [emoji23] niambie tuUnaogopa kwani? [emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna sehemu nimekusoma mpaka nimetamani kujua una fananaje yaani[emoji28][emoji28]