Kati ya Arusha, Dar, Dodoma na Mwanza, wapi wanaongoza kwa kula mboga?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Watu wamekuwa wakila mboga kwa visingio mbalimbali, wengine wakisingizia hii sio mboga, hii ni mishikaki.

Wengine wanasema hii sio mboga, hii ni supu na wengine wanasema hii sio mboga ni nyama choma.

Sasa katika hiyo mikubwa ni wapi mahiri zaidi kwa ulaji wa mboga?
 
Mboga za majani zinaliwa sana kwa waimba singeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…