Watu wamekuwa wakila mboga kwa visingio mbalimbali, wengine wakisingizia hii sio mboga, hii ni mishikaki.
Wengine wanasema hii sio mboga, hii ni supu na wengine wanasema hii sio mboga ni nyama choma.
Sasa katika hiyo mikubwa ni wapi mahiri zaidi kwa ulaji wa mboga?