Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Uwezo wa timu ya soka ya DRC ya AS VITA bila shaka umefikia kikomo , hawana jipya wala hawana uwezo tena wa kufanya lolote kwenye soka la Vilabu barani Africa , nimeifuatilia timu hiu kwenye game zote za club bingwa africa zinazoendelea , hii timu imekwisha .
Sasa swali langu ni hili , imekwisha AS VITA au kaisha Ibenge ?
Sasa swali langu ni hili , imekwisha AS VITA au kaisha Ibenge ?