Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ungetuambia mafanikio waliyopata kabla hawajaisha?Uwezo wa timu ya soka ya DRC ya AS VITA bila shaka umefikia kikomo , hawana jipya wala hawana uwezo tena wa kufanya lolote kwenye soka la Vilabu barani Africa , nimeifuatilia timu hiu kwenye game zote za club bingwa africa zinazoendelea , hii timu imekwisha .
Sasa swali langu ni hili , imekwisha AS VITA au kaisha Ibenge ?
wamecheza nusu fainali mara kadhaaUngetuambia mafanikio waliyopata kabla hawajaisha?
Taja miaka waliyocheza nusu fainali na mashindanowamecheza nusu fainali mara kadhaa
Uzi wa kujifarijiUwezo wa timu ya soka ya DRC ya AS VITA bila shaka umefikia kikomo , hawana jipya wala hawana uwezo tena wa kufanya lolote kwenye soka la Vilabu barani Africa , nimeifuatilia timu hiu kwenye game zote za club bingwa africa zinazoendelea , hii timu imekwisha .
Sasa swali langu ni hili , imekwisha AS VITA au kaisha Ibenge ?
Kwanini usiseme timu walizokutana nazo ndo zimekuwa bora zaidi tofauti na miaka ya nyuma.Uwezo wa timu ya soka ya DRC ya AS VITA bila shaka umefikia kikomo , hawana jipya wala hawana uwezo tena wa kufanya lolote kwenye soka la Vilabu barani Africa , nimeifuatilia timu hiu kwenye game zote za club bingwa africa zinazoendelea , hii timu imekwisha .
Sasa swali langu ni hili , imekwisha AS VITA au kaisha Ibenge ?
Unakionaje na kiwango cha Soka cha timu ya Taifa ya Congo DRCAS Vita bado ni timu hatari sana, hapa nionacho ni kwamba watu hamtaki kukubali kwamba Simba imekuwa timu kali kabisa ikaipiku Vita. Kama ukisema Vita imeporomoka, basi useme tu timu zote Afrika zimeporomoka kasoro Simba
Hiyo vita ya akina Makusu iliwahi kupata mafanikio yapi kwenye CAF champions?Vita wameuza wachezaji wao wazuri kina Makusu now wanajenga timu mpya, Ibenge bado kocha.
Ninachoona pia ligi yetu imeongezeka ubora,yaani huu mpira waliocheza AS Vita hata wangekutana na timu kama Mtibwa au KMC bado hata kama ni kushinda wangeshinda kwa mateso makubwaKwanini usiseme timu walizokutana nazo ndo zimekuwa bora zaidi tofauti na miaka ya nyuma.
Watanzania huwa tunakuwa vigeugeu sana.Kabla ya mechi ya jana,Wapenzi na washabiki tulikuwa tunaomba tupate hata droo tu japo nayo hatukuwa na uhakika nayo baada ya kuona as vita walivyocheza kule misri.
Vijana wamefanya kazi nzuri,wapongezwe na sio kwamba As vita ni wabaya, kabla mechi kuanza nani angetabiri Simba kufunga goli 4.
YOTE KWA YOTE,kocha ni fundi sana,angekuwa yule siju van nini aliyeondoka muda huu tungekuwa nafasi ya 3 au 4.
Simba au Al ahly kwa jinsi walivyocheza sio timu mbaya hata kidogo,ukuta wa kueleweka,winga nzuri katikati pazuri shida ni pale finishing kwa Mugalu.