Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
sigara ndiyo hatari sana
Bange noma wewe
kumbe umejifanya mwalimu.. umeuliza swali nakujibu unaniwekea kosa unajibu wewe ... sigara ndiyo hatari sana
Bange ni salama inategemea na kichwa chako na mawazo yako. Bange inakupa misimamo steam flani hiv amaizingi. Japo sijawahi kuvuta ni utafiti niliofanya kwa marafiki zangu.
Kwani kuna takwimu za bange kuua..? Sigara je? Bange ni salama sana mara dufu kuliko sigara, sigara ni sumu. Sasa jiulize kwanini wanalegalize sigara na kukataza dawa ya bange
Nashukuru sana. Nilitalifanyia kazi hilo haha..Unaweza sana marketing hasa ya bange hongera sana
Huko ugaibuni bange ina uzwa kama njugu na tena inatumika kutibu maradhi mbalimbali. Lakini sigara kwa upande mwingine ndio inaongoza kwa kusababisha vifo vya cancer. Je Bange ni salama zaidi kwa matumizi??
Bange noma wewe
Hey miss chaga unavuta nini?
bangi.....