Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Huko ugaibuni bange ina uzwa kama njugu na tena inatumika kutibu maradhi mbalimbali. Lakini sigara kwa upande mwingine ndio inaongoza kwa kusababisha vifo vya cancer. Je Bange ni salama zaidi kwa matumizi??