Kati ya Boda Boda na taxi mjini nini kinalipa [emoji1374]

bodaboda itoe kwa mkataba ,kwa siku@10000=300000X12
 
Nauliza nikiamua kufanya biashara kati ya Boda boda na tax jmn
 
Kinacholipa ni bajaji, maana saiv abiria wengi wanapanda mwendokasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…