kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,539
inafaa mkuu Ti ina roho ya paka ndio mana madereva texi wengi wanazipendaJe kwa mimi mtu wa kusafiri sondea-dar kila mwezi mara 1 carina ti itanifaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inafaa mkuu Ti ina roho ya paka ndio mana madereva texi wengi wanazipendaJe kwa mimi mtu wa kusafiri sondea-dar kila mwezi mara 1 carina ti itanifaa?
Asante mkuu mwezi march navuta yangu mapema ila nataka manual sijui kam itapatikana maana kila ninayoiona ni autoNdio na huta jutia hela yako
Asante mkuu je manual zipo kweli maana kila ninayoiona ni auto na kama zipo bei ni sawa na auto?inafaa mkuu Ti ina roho ya paka ndio mana madereva texi wengi wanazipenda
Ushauri kwa mleta mada?Hutu tugari twa chini hatuonekani kwenye milima ujue. Madereva waseng* hawanaga mda navyo anaovertake tu hata kama unakuja, we mwenyewe utaingia machakani
Mwambie na bei sasa.chukua swift sport 2012
Chukua TI....habari wana bodi hapa
kati ya gari tajwa hapo juu ipi nzuri
kuanzia vipuli, ulaj wa mafuta, uimara wa body izingatiwe mimi naishi sehemu ambayo asilimia kubwa ni barabara ya vumbi.
naombeni ushauri
Pole. Inaonekana yalishwahi kukukuta.Hutu tugari twa chini hatuonekani kwenye milima ujue. Madereva waseng* hawanaga mda navyo anaovertake tu hata kama unakuja, we mwenyewe utaingia machakani