Kati ya CHADEMA na CCM kipi ni chama imara?

Kati ya CHADEMA na CCM kipi ni chama imara?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwa kuangalia malumbano yanayoendelea kwa muda mrefu sana humu JF, kuhusu uimara wa hivi vyama viwili, CHADEMA na CCM, nimeona ni bora tukawa na kura ya maoni kuangalia kwa maoni ya watu wa JF kipi ni chama Imara kwa kufuata mambo yafuatayo.

1. Usahihi wa maamuzi ya vikao vya chama.
2. Uwezo wa kujisimamia wakati wa misukosuko ya ndani na nje ya chama.
3. Ushirikishaji wa wanachama wake kwenye shughuli za chama.
4. Mitazamo chanya ya chama kwenye maslahi ya Taifa
5. uelewekaje wa Sera zake kwa wananchi.
6. Chama kuaminika kama kinaweza kuendesha nchi kiufanisi.
 
Kwa kuangalia malumbano yanayoendelea kwa muda mrefu sana humu JF, kuhusu uimara wa hivi vyama viwili, CHADEMA na CCM, nimeona ni bora tukawa na kura ya maoni kuangalia kwa maoni ya watu wa JF kipi ni chama Imara kwa kufuata mambo yafuatayo.

1. Usahihi wa maamuzi ya vikao vya chama.
.
2. Uwezo wa kujisimamia wakati wa misukosuko ya ndani na nje ya chama.

3. Ushirikishaji wa wanachama wake kwenye shughuli za chama.

4. Mitazamo chanya ya chama kwenye maslahi ya Taifa

5. uelewekaje wa Sera zake kwa wananchi.

3. Chama kuaminika kama kinaweza kuendesha nchi kiufanisi.
Ningelikuwa Mimi I would have framed the question like this:[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Tukiondoa matumizi ya Dola ie incumbency advantage ya kuwa madarakani, (Kama alivyosema Bashiru,) kipi chama chenye nguvu katika hoja hizi🙁hoja zako)
 
Mbowe na Lisu watoto wao wote ni raia wa Marekani!!

Halafu wanataka watoto wa wenzao waandamane? Ujinga mtupu.
 
Mimi naona ni CHADEMA kwa sababu kimepitia mengi kama bunduki, mabomu, tekateka, nunuanunua but bado kipo. Jawa watu kiboko si mchezo wapo imara
 
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Mbowe na Lisu watoto wao wote ni raia wa Marekani!!

Alafu wanataka watoto wa wenzao waandamane ? Ujinga mtupu.
Wewe ndio mpuuzi mkubwa, watoto wa hao uliowataja wapo viwanja huko ughaibuni wanapiga mzigo, hawa wa CCM wanaigeuza nchi kuwa ya kifalme, soma hili, kuna family ina ex-president na 2 members of parliament! Lushoto ubunge wanaachiana ukoo mmoja, Namtumbo, Dodoma vijijini list ni ndefu mno, endelea kuwa zuzu
 
CCM ni miongoni mwa taasisi imara zaidi nchini, kwasasa hakuna chama mbadala cha siasa, huko upinzani kuna wanasiasa makini lakini vyama kama vyama bado ni taasisi changa mno, na vingine vinaendeshwa kama mali binafsi za watu.

Hawawezi kupewa uongozi wa nchi, iwe wamepigiwa kura au la, uongozi wa taifa sio kitu cha kufanyia majaribio , watu wa ajabu ajabu kama akina Mbowe na Zitto hawawezi kuaminiwa kuwa viongozi wa juu wa nchi, ni wahuni, wapiga dili na rahisi kutumika. Kama CCM wameweza kukutumia kwa vipesa kidogo tu hao maadui wa taifa watashindwa kwa mipesa waliyonayo???
 
Back
Top Bottom