joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
ndo maana nikauliza hivi mlikua mnamfwatilia huyu mtu on his peak,,...alikua ana freestyle vbya mnoooo..,,kumbuka enz za clip ile ana rekodiwa na p funk ana freestyle studio do you remember,,hata hilo shindano lililofanyika bills ngwea na chidi ,,watu wanpa chidi crown ,,..chidi on his days alikua kwenye peak ya pekee ake unless uwe ulikua ufwatilii mziki kipindi kile unaeza bishana na Mimi..sio freestyle sio ngoma kali sio show alikua kwenye dunia ya pekee akeAlikua hatar kwenye nini ..hapa tunazungumzia wakali wa free style ...chidi n mkali wa Ku flow ...na ana pumzi ya kutosha ...ila kwa upande wa free style simuweki
From profile picture to proper future
..ushaambiwa usiyaguse maji kama huezi kuogelea n ofkoz mi ndo mi n hatuezi kua pair so nageuka mac regan nawaambia endelea..Ngwair ana flow tamu..sema kweny ile speed 120 kichwa kilimuuma [emoji3]
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Oh no..Ni sawa ukamate kicheche af usahau condom [emoji119]..ushaambiwa usiyaguse maji kama huezi kuogelea n ofkoz mi ndo mi n hatuezi kua pair so nageuka mac regan nawaambia endelea..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaahaahaaa hivi haipo clip ya hilo shindano LA freestyle ya ngwair na chidiMangwea alikuwa level nyingine. Kuvuta ni style yake ya flow lakini pia ni genius. Kwenye mashindano ambayo Mangwea alishinda Club Billicanus nakumbuka DJ alimuwekea Mangwea beat ambayo ipo very slow, Mangwea akaanza ku freestyle kumuomba DJ abadili beat (alishuka vina vya hatari) lakini DJ akakomaa na beat yake na Ngwea akaamua kutembea nayo! Ile jinsi Ngwea alivyo switch kwa vina baada ya kugomewa ilikuwa very interesting.
Sent using Jamii Forums mobile app
For sureChiid kwenye jukwaa ,jamaa ana upepo/pumzi,hamna msanii anayemfikia wa hip hop kwa uwezo wa kupiga live.
Nikki hata akiwa mbishi ..ukweli utabaki Kuwa ngwair na zilla n habar nyingineNikki mbishi is the best ever GOAT
Mm shabiki mzuri wa ngwea ila kwa freestyle chid ni hatareeeee.Kuna interview Chid kaongea point ya kufikirika kujitetea kuwa yeye ni mzuri kwenye freestyle kuliko Ngwea.
Vigezo alivyotumia ni kwamba Ngwea anachana polepole kitu kinachompa mda wa kufikiria mistari au vina,ila yeye atakachosema tena kwa haraka ni vina,Alieleza kwamba walishindanishwa kwenye club moja ila mashabiki waliamua awe mshindi kwa sababu Ngwea alikuwa anapochana anavuta sana mda wa kufikiria,...Pia kuhusu Godzilla alisema siyo watu wa kutunga papo kwa papo,wanachana polepole ili kupata mda wa kufikiria tofauti na yeye.
Wakuu na wadau wa freestyle mnasemaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ile ya dakika kumi za maangamizi chidi c alifanya upuuzi tuu coz alikua anaongea vitu havieleweki ....au hujaskiliza umehadithiwa tuuMm shabiki mzuri wa ngwea ila kwa freestyle chid ni hatareeeee.
Kuna siku alienda pale planet bongo kwenye zle dkk10 za kuchana. Jamaa alitema vina hatari, yaan kama vle kaandika af kameza. Na kuvuta kote madawa lkn brain capacity yake ktk freestyle haijapungua(This proves real talent)
Nmesikiliza sana mkuu, ila usiseme havieleweki, sema ww ndio haukuvielewaSasa ile ya dakika kumi za maangamizi chidi c alifanya upuuzi tuu coz alikua anaongea vitu havieleweki ....au hujaskiliza umehadithiwa tuu
From profile picture to proper future
Nmesikiliza sana mkuu, ila usiseme havieleweki, sema ww ndio haukuvielewa