For sureChild hamuwezi ngwea bana..Ngwea halazimishi anachana mpaka achoke yeye haishiwi mistari yule.
R.I.P Ngwair the freestyle King.
Overall ngwair alikua best na hajawai kutokea anaemkaribia ...tatizo wabongo wengi hata freestyle hawajui n nn ...mtu km chidibenz nkashangaa watu wanavo mcategorize kwenye watu wanaojua ku free style wakat akiwa anafanya hzo freestyle hata haelewek coz anatamka Hadi maneno ambayo hayana sense yoyote tofaut na Albert ambaye alikua anafanya freestyle na unamuelewa anachozungumza ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakuomba uandike lyrics za wimbo wa napokea simu maana nakubali sana biti tuCow bama