Kati ya Clouds FM na E FM nani wanatangaza vizuri kipindi cha michezo?

Kati ya Clouds FM na E FM nani wanatangaza vizuri kipindi cha michezo?

E fm wapo vizuri. Clouds ni watumwa wa soka la ulaya. Mifano yote, man u, psg, arsenal
 
Sijajua kwa mikoa mingine hiyo station (efm) inapatikana, kwa mfano MBEYA?
 
Nimekua nikifuatia station hizi mbil E FM na Clouds katika vipindi vya Michezo.

Kunatokea ubishani mtaani ni wapi wakali wanaofunika kwa kuchambua michezo na kuhoji makocha viongozi wa timu pia wa TFF?

Wewe unaona nani zaidi?

Azam fm na RFA ndio kila kitu, hao wengine wasindikizaji tu
 
Nimekua nikifuatia station hizi mbil E FM na Clouds katika vipindi vya Michezo.

Kunatokea ubishani mtaani ni wapi wakali wanaofunika kwa kuchambua michezo na kuhoji makocha viongozi wa timu pia wa TFF?

Wewe unaona nani zaidi?
E.F.M ndio mpango mzima
 
Back
Top Bottom