Kati ya Diamond na Ali Kiba nani kamchangia Lissu!

Kati ya Diamond na Ali Kiba nani kamchangia Lissu!

Je wakati mama yake Diamond anaumwa amelazwa India Lissu na chama chake walichangia kiasi gani kusaidia matibabu?
 
Mashetani yataongea hovyo na kutenda kishetani kwa kuwa hayaonekani. Lissu ni hazina ya kipekee ktk Sayari hii na hasa Tanzania. PRAY 4 LISSU
 
waache kupambana na hali zao[emoji23][emoji23][emoji23]..
mkichanga nyinyi na wabunge inatosha sana.Akina mbowe si wapo jamani.....
waacheni wapambane na watoto zao na hali zao jamani....
wabongo mnachoshaa Chaa!!!
 
Kwani ni lazima kila mtu achangie, au ndio mnawatafutia watu lawama
 
MI NASHANGAA KABISA,MANGE SI ALIWAAMINISHA WATU KTK KIBA,NDO AONE ROHO MBAYA NA YA CHOYO YA BWANA KIBAKULI.NA MWISHO WATU WAJIFUNZR KUTOKUCHANGANYA SIASA NA MUZIKI
Humu mlikesha kumpigia promo Kiba na kumpa views kibao. Mwambieni awalipe fadhila vijana wa Ufipa.[/QUOTE
 
H
Ali Kiba alipigiwa Promo na vijana wenzake wanaomkubali. Mimi hata ukinipa bilioni moja niandike hata mstari mmoja tu wa kwenye hizo nyimbo zao siwezi kwa kuwa sizijui.

Halafu kama ni mambo ya chama hao wote ni CCM!
HILI TULILUSEMA SISI,MUZIKI NA SIASA VITU VIWILI TOFAUTI, ILA KWA AKILI ZA MANGE NA CHUKI ZAKE KWA DIAMOND, AKAAMINISHA YULE NI CCM NA KIBA NI UKAWA,AFU ANASAHAU MMOJA ANAUTU KULIKO MWENZIE NA NI MUDA SANA ANAJULIKANA


HAYA WOTE HAO WANAKODISHWAGA NA CCM,KWA WENGINE WA UKAWA TUNAOMPENDA DIAMOND,BI MDADA AKATUPIGA BAN NA WRNGINE WAKABAKI KUJAZWA SUMU TU,SASA AMAMBIE HUYO ALIYEMPIGIA PROMO ATOE HATA MILL10 BASI ACHANGE TUONE JUHUD ZA MANGE


NA ASIJIDAI KUTOA KIMYAKIMYA WAKATI YEYE NI MFANO KWA JAMII,ATOE WAZIWAZI WENGIBE WAIGE
 
Huyu lissu ni mungu wa chadema!!?? Wajinga hawataisha nchi hii;lissu lissu lissu,lissu.alikufa baba wa taifa sembuse na huyu kikaragosi wenu.
Na wanaccm mtazkwa wazma wazma
Kama USA anavozkwa huko na Kim jong
 
Huyu lissu ni mungu wa chadema!!?? Wajinga hawataisha nchi hii;lissu lissu lissu,lissu.alikufa baba wa taifa sembuse na huyu kikaragosi wenu.
Alipambwa SLAA na kupambika, mwishowe akaishia kuitwa DK MIHOGO.
- Lipumba aliitwa majina yote mazuri, ya MSOMI, MCHUMI DARAJA LA KWANZA, Leo anaitwa PROPESA LIPUMBAVU.

- Na LISSU as long as hatokei MOSHI/ARUSHA siku yake yaja. Bavicha akili zote washamkabidhi MBOWE
 
Tukikujibu utatuuliza: kati ya Mengi na SSB nani kachangia? Tukikujibu hilo utauliza: kati ya SIMBA na YANGA nani kachangia? Na baadae utauliza tena: SINGIDA na KILIMANJARO wepi wamechanga? Kiba ana page instagram, Mond nae anayo, wafolo uwaulize!
 
Huyu lissu ni mungu wa chadema!!?? Wajinga hawataisha nchi hii;lissu lissu lissu,lissu.alikufa baba wa taifa sembuse na huyu kikaragosi wenu.
Uhai wa Lisu una thamani ya watu 1000 wanaovaa magwanda ya kijani,
 
Back
Top Bottom