Kati ya Diploma ya IT/Computer aScience Na Tourism Tour Guider/ Travel & Tour Operator

Kati ya Diploma ya IT/Computer aScience Na Tourism Tour Guider/ Travel & Tour Operator

Kwa tourism ngazi ya diploma ni bora tu usome IT, sababu kubwa tour guide hauhitaji diploma ili uwe favoured kwenye soko la ajira, kuna "machalii" wamejazana arusha mjini, moshi na mto wa mbu pale wana certificates tu za miezi sita mpaka mwaka, jumlisha na course za lugha mbalimbali na familiarity ya pori,

Hao huwezi kuwapata hata kwa kuwakimbilia sababu kubwa kwa tour guide haihitaji makaratasi sana, inataka uwe mzuri kwenye field (porini) i.e hata mtu asie na cheti cha darasa la saba anaweza kuwa local tour guide mzuri kukuzidi wewe wa diploma.

Kwa Tourism in general kama kusoma ni bora ukachukue degree (kama una vigezo) hapa utajipa uwanja mpana wa kuingia kwenye management zaidi.
Mpwa hiyo paragraph ya kwanza, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
vigezo vipo..Nna Chet cha It NT4.na kuhs vegzo vya tourism nnavyo pia.Nna Dv 27 Bios G Histry English zot hzo Pass na credt baadh
Comp Science si nasikia uwe umesoma Science au? Math iwe inapanda
 
Comp Science si nasikia uwe umesoma Science au? Math iwe inapanda
Hapn mim nna certfct tyar sio km nd ntaka kuanza moja..ila nlistop tu kutkn na mamb ya kiuchum ndio skuendlea na DP
 
Hapn mim nna certfct tyar sio km nd ntaka kuanza moja..ila nlistop tu kutkn na mamb ya kiuchum ndio skuendlea na DP
Utaiweza kweli comp Science kama hata kuandika tu kunakushinda certfct ndio nini sasa?
 
Utaiweza kweli comp Science kama hata kuandika tu kunakushinda certfct ndio nini sasa?
Mkuu kuandka certfct nmeandk inshot tu..laknvzr umeelewa nmemnsha nn..maan nmeon haina hya ya kuek nots ndef wakt nawez tumia kifup na mtu akaelewa vzr.nmtumia lugha ya mkato inayo eleweka kiongoz.
 
Utaiweza kweli comp Science kama hata kuandika tu kunakushinda certfct ndio nini sasa?
Kam ww ulivyotumi "Comp Science" badala ya Computer" ila point nkaifahm nn unazungumzia.
Maan Comp haijakamilika pia.inweza ikaleta maan nyng...
 
Back
Top Bottom