NdioHakuna mtu anaejua maslahi ya Hawa jamaa
Kwa 'maslahi" unamaanisha nini?Habari zenu wakuu.
Ningependa kujua Kati ya hizi taasisi mbili nani yuko juu Kwa mwenzake kwenye maslahi ya wafanyakazi.
Sikuuliza kewa nani, nimeuliza kwa "maslahi" una maanisha nini?Kwa watumishi wao
Nisome tena.Umeona Kuna mwizi hapa. Nimeuliza nani analipa maslahi mazuri?