luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Wadau kwema,
Nimekuwa nikitumia bank moja hivi sitoitaja jina lake, lakini nimechoshwa na makato yake ya ajabu ajabu.
Sasa nimefikia maamuzi ya kubadili mtoa huduma. Je, kati ya hizo bank mbili yaani Equity na Exim ni yupi ana huduma nzuri in terms of makato madogo, zero maintain fee, deposit+ withdraw fee?
Umma wa Jamii Forums naomba msaada wenu.
Nimekuwa nikitumia bank moja hivi sitoitaja jina lake, lakini nimechoshwa na makato yake ya ajabu ajabu.
Sasa nimefikia maamuzi ya kubadili mtoa huduma. Je, kati ya hizo bank mbili yaani Equity na Exim ni yupi ana huduma nzuri in terms of makato madogo, zero maintain fee, deposit+ withdraw fee?
Umma wa Jamii Forums naomba msaada wenu.