Kati ya gari hizi za Toyota Ungependekeza ipi kuwa ni bora zaidi ya nyingine

Kati ya gari hizi za Toyota Ungependekeza ipi kuwa ni bora zaidi ya nyingine

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kati ya gari hizi. Ungependekeza ipi kuwa ni bora ya nyenzie.

Bwana mdogo anahitaji kununua gari ambayo ataweza kuwa anatumia Dar mara moja moja na pia kusafiri nayo mikoa ya Jirani kama Morogoro, Tanga, Iringa na Dodoma.

Anazingatia suala la ulaji wa mafuta, uimara na nguvu pia.

Toyota Grande Mark II GX 110 (CC 2000)

Toyota Brevis ( engine ya CC 2400 kama sijakosea)

Toyota Ipsum model ya pili (CC 2400)

Toyota Mark II (sijajua ina engines ngapi.but engine ya cc ndogo)

Naombeni ushauri nimpatie bwana mdogo.
 
Kwa uchumi wake kama wa kulega lenga aende tu kwa mark II grand ila kama anataka power na pulling ipusum na mnyama brevis zitamfaa zaidi
 
Kwa uchumi wake kama wa kulega lenga aende tu kwa mark II grand ila kama anataka power na pulling ipusum na mnyama brevis zitamfaa zaidi
Mark II Grande ina fuel consumption nzuri zaidi ya Ipsum na Brevis? Kwa nini?
 
Wengi wa viewers naona hawayafamu/hawana magari. Tuwa tag wenye magari watu maoni mengi zaidi.
 
Mimi siyo mpenzi wa sedan.Hizi gari aina ya sedan zinafanana na watoto wa kitimoto!Mimi my wangu ni gari aina ya SUVs🤗🤗🤗
 
Mark II grande is the best...

Inautulivu wa hali ya juu ikiwa juu ya lami. Ulaji mzuri wa mafuta
 
Mkuu behaviourist una SUV kweli? Au ni ya shemeji yako.
SUV yangu hii hapa mkuu[emoji847][emoji847][emoji847]
G.jpg
 
Kati ya gari hizi. Ungependekeza ipi kuwa ni bora ya nyenzie.

Bwana mdogo anahitaji kununua gari ambayo ataweza kuwa anatumia Dar mara moja moja na pia kusafiri nayo mikoa ya Jirani kama Morogoro, Tanga, Iringa na Dodoma.

Anazingatia suala la ulaji wa mafuta, uimara na nguvu pia.

Toyota Grande Mark II GX 110 (CC 2000)

Toyota Brevis ( engine ya CC 2400 kama sijakosea)

Toyota Ipsum model ya pili (CC 2400)

Toyota Mark II (sijajua ina engines ngapi.but engine ya cc ndogo)

Naombeni ushauri nimpatie bwana mdogo.
Chukua gx 110 huo mzigo ni balaa [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mimi siyo mpenzi wa sedan.Hizi gari aina ya sedan zinafanana na watoto wa kitimoto!Mimi my wangu ni gari aina ya SUVs🤗🤗🤗
Yaani nawe ukipanda mbele kwenye ile RAV 4 ya shemeji yako unaona tayari ni yako.... Ukija kumiliki gari siku moja njoo tuongee.
 
Kwa uchumi wake kama wa kulega lenga aende tu kwa mark II grand ila kama anataka power na pulling ipusum na mnyama brevis zitamfaa zaidi
Mkuu ipsum haiwezi kuizidi power mark ii grand never.
 
Back
Top Bottom