Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Haalland keshafunga magoli magumu pia sehemu nyingi sana. Mfuatilie vizuri hata kabla hajaenda Dortmund keshaprove. Victor naye ni mshambuliaji mzuri ila kwa Haalland anasubiri sana kwa sababu umachachari wake haufikii hata robo ya uhatari wa Haalland.Watu wengi naamini hamjamtazama osimhen au hamjui mpira.. haaland anafunga magoli mepesi sana, hana uwezo kwenye 1 vs 1 , pia haaland team yake ikidhibitiwa anaweza hata kutogusa kabisa mpira .
Nashauri angalieni game za napoli muone hili jamaa ni [emoji91]
Fuatilia vizuri