Kati ya Hakimu na Wakili nani zaidi?

Kati ya Hakimu na Wakili nani zaidi?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Swali hili nimejiuliza baada ya kuona mawakili wanavyowaheshimu mahakimu. Tena Hakimu anaitwa mheshimiwa.

Wako mahakimu ambao humaliza Diploma zao huko chuoni Tanga na kuingia kazini. Mawakili ninavyojua lazima wahitimu shahada kisha wakasome tena shule ya uwakili.

Wataalam nijuzeni
 
Saiv hata hakimu mpaka awe amepitia Law school
 
Back
Top Bottom