Kati ya Harmonize, Alikiba na Diamond yupi mwenye kifua kizuri

ngoja kwanza kifua unamaanisha 'chest' au unamaanisha 'uwezo wa kukaa na siri muda mrefu'??
 
Vijana mmefikia kujadili vifua vya vijana wenzenu sio? Au basi endeleeni napita zangu maana huu mtaa una harufu ya Kiniesiii.
 

Attachments

  • 20231113_124022.jpg
    50.1 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…