Kati ya Harrier 240 na Lexus RX 300 ipi nzuri ya kununua?

Kati ya Harrier 240 na Lexus RX 300 ipi nzuri ya kununua?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Wakuu mimi sio mtaalam sana wa magari ila hua naona kuna haya magari ya harrier 240 na Lexus rx 300 kama yanafanana kwa kila kitu.

Ila kwa kua hili jukwa lina wataalam wengi wa magari ningepemda kuelimishwa kuhusu ubora na tofauti zao na bei.

Ahsante.

1588967376528.png

1588967425021.png
 
Kwanza kabisa hakuna harrier 240 mkuu.

Kwenye swala la kubrand magari makampuni mengi hasa Toyota hutumia namba ambazo zinauhusiano na Ujazo (displacement) ya engine katika gari husika au aina ya combustion kama ni Diesel au Petrol. Pia hutumia trim codes kama VX, LX,GX,GL,SX n.k kutofautisha matoleo tofauti ya gari.

Lexus ni division (tawi) la Toyota linalotengeneza gari za aghali zaidi ila zenye manjonjo kwa ajili ya matajiri au wateja wanaopenda vitu vya kipekee.Hasa huyauza ulaya hayo magari. Trimcodes za Lexus ndio kama RX,RC,GS, LS,IS hutofautisha matoleo tofauti ya Lexus.

Mfano halisi:
Toyota Mark X utakuta imeandikwa nyuma 250G ama 300G! Ile namba 250 ni kifupisho cha displacement ya engine ama cc za gari ambazo ni 2500cc na ile G inawakilisha Gas (Petrol). Muda mwengine wanatumia herufi (i) kuwakilisha petrol. Kwa gari za diesel wanatumiaga (D). Kwahio kwa anaejua Nomenclature ya gari za Toyota direct anaelewa ile gari ni ya ukubwa flani bila kufungua bonnet.

Muda

Gari ya Lexus huwa wanaziandikaga trim code kisha namba.
Mfano:
Lexus IS250
ile IS inamaana yake nimesahau ila ni .....sedan yenye 2500cc

Zingine kama RX300 unakuta ni Lexus yenye ukubwa wa 3000cc.

Kuhusu kufanana kwa gari za Toyota na Lexus ni sawa kwa sababu mzalishaji ni mmoja ingawa kwa matoleo ya kisasa wamejitahidi kuzitofautisha kabisa. Unakuta Harrier ni gari ya soko la Japan ila gari hio hio wanaifanyia maboresho zaidi iendanw na soko la ulaya kisha kuipa sticker tofauti ya Lexus kisha inauzwa soko la ulaya kwa aghali zaidi. Ndio maana umeona zinafanana.

Harrier inaandikwa 240G kumaanisha ni gari ya 2400cc na ya petrol!

Lexus yake inaitwa RX350 au RX300
 
Kwanza kabisa hakuna harrier 240 mkuu.

Kwenye swala la kubrand magari makampuni mengi hasa Toyota hutumia namba ambazo zinauhusiano na Ujazo (displacement) ya engine katika gari husika au aina ya combustion kama ni Diesel au Petrol. Pia hutumia trim codes kama VX, LX,GX,GL,SX n.k kutofautisha matoleo tofauti ya gari...
Mkuu nilitaka nikutag lakini nikawa sina kumbukumbuku nzuri kama wewe ni expert wa magari. Nikaona nisichanganye mambo, nimekuzoea kwenye system za mziki.
 
Lexus ni Toyota ambayo ni Luxury, Mara nyingi Lexus kama hio Rx unakuta na leather seats.
Lexus zinapendwa sana uarabuni,ulaya na pia america.

Mara nyingi pia top speed ya hizi RX ni 270km/h japo chache naona ni 180.
Kama ni Mimi nachukua Lexus.

Harrier haifikii Lexus mzee.
 
Kwanza kabisa hakuna harrier 240 mkuu.

Kwenye swala la kubrand magari makampuni mengi hasa Toyota hutumia namba ambazo zinauhusiano na Ujazo (displacement) ya engine katika gari husika au aina ya combustion kama ni Diesel au Petrol. Pia hutumia trim codes kama VX, LX,GX,GL,SX n.k kutofautisha matoleo tofauti ya gari.

Lexus ni division (tawi) la Toyota linalotengeneza gari za aghali zaidi ila zenye manjonjo kwa ajili ya matajiri au wateja wanaopenda vitu vya kipekee.Hasa huyauza ulaya hayo magari. Trimcodes za Lexus ndio kama RX,RC,GS, LS,IS hutofautisha matoleo tofauti ya Lexus.

Mfano halisi:
Toyota Mark X utakuta imeandikwa nyuma 250G ama 300G! Ile namba 250 ni kifupisho cha displacement ya engine ama cc za gari ambazo ni 2500cc na ile G inawakilisha Gas (Petrol). Muda mwengine wanatumia herufi (i) kuwakilisha petrol. Kwa gari za diesel wanatumiaga (D). Kwahio kwa anaejua Nomenclature ya gari za Toyota direct anaelewa ile gari ni ya ukubwa flani bila kufungua bonnet.

Muda

Gari ya Lexus huwa wanaziandikaga trim code kisha namba.
Mfano:
Lexus IS250
ile IS inamaana yake nimesahau ila ni .....sedan yenye 2500cc

Zingine kama RX300 unakuta ni Lexus yenye ukubwa wa 3000cc.

Kuhusu kufanana kwa gari za Toyota na Lexus ni sawa kwa sababu mzalishaji ni mmoja ingawa kwa matoleo ya kisasa wamejitahidi kuzitofautisha kabisa. Unakuta Harrier ni gari ya soko la Japan ila gari hio hio wanaifanyia maboresho zaidi iendanw na soko la ulaya kisha kuipa sticker tofauti ya Lexus kisha inauzwa soko la ulaya kwa aghali zaidi. Ndio maana umeona zinafanana.

Harrier inaandikwa 240G kumaanisha ni gari ya 2400cc na ya petrol!

Lexus yake inaitwa RX350 au RX300
Mkuu kweli kwenye magari mimi niko ulimwengu wa giza. Wenzangu naona mlishauona mwanga miaka mingi sana. Mwenzenu hata ile wanaita to see the light at the end of the tunnel bado sana.

Ahsante sana kwa maelezo yako kiongozi wangu.
 
Mkuu kweli kwenye magari mimi niko ulimwengu wa giza. Wenzangu naona mlishauona mwanga miaka mingi sana. Mwenzenu hata ile wanaita to see the light at the end of the tunnel bado sana.

Ahsante sana kwa maelezo yako kiongozi wangu.
Usijali mkuu tuko pamoja.
 
Kwanza kabisa hakuna harrier 240 mkuu.

Kwenye swala la kubrand magari makampuni mengi hasa Toyota hutumia namba ambazo zinauhusiano na Ujazo (displacement) ya engine katika gari husika au aina ya combustion kama ni Diesel au Petrol. Pia hutumia trim codes kama VX, LX,GX,GL,SX n.k kutofautisha matoleo tofauti ya gari.

Lexus ni division (tawi) la Toyota linalotengeneza gari za aghali zaidi ila zenye manjonjo kwa ajili ya matajiri au wateja wanaopenda vitu vya kipekee.Hasa huyauza ulaya hayo magari. Trimcodes za Lexus ndio kama RX,RC,GS, LS,IS hutofautisha matoleo tofauti ya Lexus.

Mfano halisi:
Toyota Mark X utakuta imeandikwa nyuma 250G ama 300G! Ile namba 250 ni kifupisho cha displacement ya engine ama cc za gari ambazo ni 2500cc na ile G inawakilisha Gas (Petrol). Muda mwengine wanatumia herufi (i) kuwakilisha petrol. Kwa gari za diesel wanatumiaga (D). Kwahio kwa anaejua Nomenclature ya gari za Toyota direct anaelewa ile gari ni ya ukubwa flani bila kufungua bonnet.

Muda

Gari ya Lexus huwa wanaziandikaga trim code kisha namba.
Mfano:
Lexus IS250
ile IS inamaana yake nimesahau ila ni .....sedan yenye 2500cc

Zingine kama RX300 unakuta ni Lexus yenye ukubwa wa 3000cc.

Kuhusu kufanana kwa gari za Toyota na Lexus ni sawa kwa sababu mzalishaji ni mmoja ingawa kwa matoleo ya kisasa wamejitahidi kuzitofautisha kabisa. Unakuta Harrier ni gari ya soko la Japan ila gari hio hio wanaifanyia maboresho zaidi iendanw na soko la ulaya kisha kuipa sticker tofauti ya Lexus kisha inauzwa soko la ulaya kwa aghali zaidi. Ndio maana umeona zinafanana.

Harrier inaandikwa 240G kumaanisha ni gari ya 2400cc na ya petrol!

Lexus yake inaitwa RX350 au RX300
Umenitoa ushamba, na kukaa na magari tofauti tofauti kwa miaka mingi ila sikujua maana ya hizo abbrev.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom