Kati ya hawa yupi ana unafuu?

Kati ya hawa yupi ana unafuu?

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Giggy Money na Faiza (mke wa zamani wa Sugu) wote tunajua kwamba madishi yao yamecheza, wana uwezo wa kufanya chochote kitachokufanya ubaki mdomo wazi kwa nia tu ya kupata umaarufu, je yupi kati ya hao ana unafuu? Mi naona ngoma droo
 
Back
Top Bottom