Kati ya hizo gari Mark x au toyota crown , ipi rahisi kumudu njia zote

Kati ya hizo gari Mark x au toyota crown , ipi rahisi kumudu njia zote

sixlove

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
563
Reaction score
393
Habari wadau, poleni na majukumu ya kila siku. Najua katikwa hili jukwaa kuna watu wana experience na matumizi ya gari aina ya toyota mark x, na toyota crown. naomba kujuzwa yafuatayo.

1. kati ya hizo gari mbili, ipi rahisi kumudu njia zote (namaanisha rough road na lami)

2. unywaji wa mafuta ukoje kati ya hizo gari mbili

3. comfortability

4. speed

5. durability


wenye uzoefu naomba mtoe ujuzi wenu
 
Njoo nikuuzie Toyota Crown hutojutia nakwambia.
tapatalk_1521105851346.jpeg
tapatalk_1521105858425.jpeg
 
Toyota Crown ni gari iliyo poa kabisa.
1. Hii inapita barabara zote bila tabu
2. Kwenye mafuta ni kutokana na matumizi yako, gari yoyote ile inapaswa uweke mafuta ya kutosha ndio utaona gari ni nzuri. Umezoea kuweka mafuta lita mbili lazima uone gari inakula mafuta, jaribu kuweka mafuta ya kutosha ndio utalipenda gari.
3. Toyota Crown iko comfortable sana aisee.
4. Hii gari ina speed balaa utaipenda hasa ukiwa na safari ndefu.
 
Crown ni royal car mm naipenda zaidi ni ndefu na inaspace ya kutosha tofauti na mark x. Kuhusu speed zote zinaishia 180 na ulaji wa mafuta engine pia zinafanana. So kilichobaki ni kupenda umbo tu ila mashine ni ile ile
 
Kwa heshima ni sawa na gx 110 na alteza.as huwezi kukuta mtu mwenye heshima anendesha alteza hizi huwa ni kwa mabishoo wanaotaka fujo,ila utakuta mtu mwenye heshima na gx110 ac kalo mpaka unaganda alafu mziki rock kwa mbali
 
Crown ni royal car mm naipenda zaidi ni ndefu na inaspace ya kutosha tofauti na mark x. Kuhusu speed zote zinaishia 180 na ulaji wa mafuta engine pia zinafanana. So kilichobaki ni kupenda umbo tu ila mashine ni ile ile
Kuwa na speed ya 180 zote mkuu sio shida,vipi HP zake zikoje maana hili nalo ni muhimu sana kwa perfomance ya gari,gari yenye HP kubwa huwa ina nguvu sana na hii uta inotice wakati wa kuondoka,unapo overtake au unapopanda sehemu yenye muinuko..
 
Kuwa na speed ya 180 zote mkuu sio shida,vipi HP zake zikoje maana hili nalo ni muhimu sana kwa perfomance ya gari,gari yenye HP kubwa huwa ina nguvu sana na hii uta inotice wakati wa kuondoka au unapopanda sehemu yenye muinuko..
Same Horsepower. Crwn na Mark X zinakuja na same engines, 2gr, 3gr na 4gr. Ukitaka more power tafuta Crown yenye 2grfse au mark X yenye hio engine.
 
Back
Top Bottom