Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Crown all the way....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si unaifanyia upholstery ya leather tu kiongozSiipendi interior yake,hamna leather tseats kwenye crown
Crown zinashida ya kupasuka pasuka dash board nimeshaona gari 3 za crown dashboard zimechanika inaonekana material used ni hafifu sana kwa crown
Unayoooooo [emoji23]Toyota Crown Majesta is another numberr ni fireeee
Hahahahahah huwa naionaa tu on roadUnayoooooo [emoji23]
Nyie mnajuana?[emoji16][emoji16]Hahahahahah huwa naionaa tu on road
Nilitaka kuomba lifti, kumbe unaiona road ya jirani. [emoji23]Hahahahahah huwa naionaa tu on road
Nilitaka kuomba lifti, kumbe unaiona road ya jirani. [emoji23]Hahahahahah huwa naionaa tu on road
PigeotHabari wadau, poleni na majukumu ya kila siku. Najua katikwa hili jukwaa kuna watu wana experience na matumizi ya gari aina ya toyota mark x, na toyota crown. naomba kujuzwa yafuatayo.
1. kati ya hizo gari mbili, ipi rahisi kumudu njia zote (namaanisha rough road na lami)
2. unywaji wa mafuta ukoje kati ya hizo gari mbili
3. comfortability
4. speed
5. durability
wenye uzoefu naomba mtoe ujuzi wenu
Halafu road ilikuwa hivi,kama unapajua nipe locationUMETISHA MKUU, UMEFUTA KIBATI, EVOLUTION YA ENGINE BADO 5, HAINA HATA MAWAZO YA KWENDA KULALA KWENYE RED. WESE NDIO KWANZAAA LINATOKOTA.....CROWN NI AMAZING
Kaka una Life la spare au, ndio nini hio unafanya hapo aisee we ni mdeadly. Sema kama gari iko stable unafika salama tu
Iliangukiwa na roli la mafuta.Nakumbuka crown athlete iliyomuua ded wa Kongwa.
Hizo gari zina vegezo vinavyoshabihiana kwa karibu isipokuwa tu mvuto machoni ambao tunakuachia wewe.Habari wadau, poleni na majukumu ya kila siku. Najua katikwa hili jukwaa kuna watu wana experience na matumizi ya gari aina ya toyota mark x, na toyota crown. naomba kujuzwa yafuatayo.
1. kati ya hizo gari mbili, ipi rahisi kumudu njia zote (namaanisha rough road na lami)
2. unywaji wa mafuta ukoje kati ya hizo gari mbili
3. comfortability
4. speed
5. durability
wenye uzoefu naomba mtoe ujuzi wenu