Kati ya hizo gari Mark x au toyota crown , ipi rahisi kumudu njia zote

Hatari sikushauri ujaribu labda kama una test tu,ila mwendo mzuri wa haraka mwisho wangu ni 120kph nikiwa na gari nzuri,ila kama sio zuri mwisho ni 90-100kph.
Hatari sanaa, nilimaliza 180kph mwaka 2011 maeneo flani tanga natokea moshi nilikua na Toyota cheser gx100, hadi leo sikuwahi maliza tena naishiaga 160kph
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…