Hii ni nje ya mada...lakini kama kuna timu iliwahi kutesa watangazaji wa televisheni wa nchi zao basi ni Greece (Ugiriki), hiyo ilikuwa mwaka 2004 walipochukua Euro Cup. Fuatilia matangazo ya kwenye clip hii tanga dakika ya 2 mpaka ya tano usikilize na kuona walivyowatesa watanazaji. Click neno youtube lilochini kulia kwenye clip kuifungua clip