Kati ya Inter Milan na Lazio nani kafuzu kucheza Uefa Champions League?

Kati ya Inter Milan na Lazio nani kafuzu kucheza Uefa Champions League?

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Angalia hapa.
Screenshot_20180521-174527.jpeg
Screenshot_20180521-174501.jpeg
 
Hii ni nje ya mada...lakini kama kuna timu iliwahi kutesa watangazaji wa televisheni wa nchi zao basi ni Greece (Ugiriki), hiyo ilikuwa mwaka 2004 walipochukua Euro Cup. Fuatilia matangazo ya kwenye clip hii tanga dakika ya 2 mpaka ya tano usikilize na kuona walivyowatesa watanazaji. Click neno youtube lilochini kulia kwenye clip kuifungua clip

 
Back
Top Bottom