bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Wote bado ni Vijana Mmoja akicheza Simba na Mwingine Azam na pia wote ni wazawa.
Tanzania tuna viungo wakabaji wengi tu ila leo ningependa kuwazungumzia hawa wawili Mkude na Himid manake hata kwenye timu ya Taifa ndo wanaitwa sana na wako pia kwenye timu Kubwa.
Je kati ya hawa wawili yupi na Kiungo mkabaji bora kwa Sasa Tanzania kwa kuzingatia msaada kwenye vilabu vyao pia Timu Taifa ya Taifa Na pia Viwango/Ufundi binafsi?
Tuweke ushabiki pembeni nimezingatia Uzawa Kwanza.
Tanzania tuna viungo wakabaji wengi tu ila leo ningependa kuwazungumzia hawa wawili Mkude na Himid manake hata kwenye timu ya Taifa ndo wanaitwa sana na wako pia kwenye timu Kubwa.
Je kati ya hawa wawili yupi na Kiungo mkabaji bora kwa Sasa Tanzania kwa kuzingatia msaada kwenye vilabu vyao pia Timu Taifa ya Taifa Na pia Viwango/Ufundi binafsi?
Tuweke ushabiki pembeni nimezingatia Uzawa Kwanza.