Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
-jumia ni bidhaa toka tanzania maduka yetu ya hapa hapaWADAU NAOMBA KUFAHAMU KATI YA KIKUU NA JUMIA
YUPI ANATOA HUDUMA NZURI? NA YUPI MWENYE QUALITY NZURI?
-jumia ni bidhaa toka tanzania maduka yetu ya hapa hapa
-kikuu ni mtu wa kati wanakuletea bidhaa toka china
mambo ya bidhaa nzuri na quality ngumu, sababu jumia kuna wauzaji wengi na kikuu wanatoa kwenye maduka mengi vile vile, hivyo ubora wa bidhaa utategemea na supplier/muuzaji wa bidhaa husika.
ila kwa ushauri wangu angalia kwanza kama bidhaa haipo madukani kabisa ndio uagizishie kwenye hizo site.
hizi site ambazo unalipia online ngumu kuibiwa mkuu maana ni makampuni makubwa na serikali ina ya monitor, watu wanakopigwa ni hizi site za mitaani wazee wa "mikoani pia tunatuma", site kama kupatana, magroup ya facebook, zoomtanzania etc.Uaminifu wao ukoje mkuu?
Mkuu vp kuhusu uaminifu wao kwenye helakikuu hata ukiwa nanjilinji wanakutumia mzigo ila jumia wame base maeneo ya mijini sana
kikuu hawana ujanjaujanja mkuu sema tuu uwe makini kwenye selection ya bidhaa mana mzigo unatoka china sasa ukikosea inakula kwako...kuhusu hela hawana matatizo KABISA.Mkuu vp kuhusu uaminifu wao kwenye hela
Funguka walikupigaje tupate experienceKikuu walinipga mizingo yangu,idont recommend sir..
mkuu kikuuu mizigo yako ikipotea unaweza kudai refund unapata double refund kama saa moja imepotea ukidai unapewa mbili..ni nzuri sana mizigo kupotea inatokea due to missallocation of cargo waweza kuwa Tanzania bahati mbaya ukaagiza mzigo na ukaset kabisa destination ni Tanzania lakini system ikakosea mzigo wako ukapelekwa congo...kuna utaratibu unatakiwa uufuate upate refund yako ni rahisi tuKikuu walinipga mizingo yangu,idont recommend sir..