Kati ya Jumia na Kikuu nani zaidi?

Kati ya Jumia na Kikuu nani zaidi?

Haijalishi kama ni Kikuu au Jumia, kinachojalisha ni hiyo bidhaa unatoka kwa nini...



Cc: mahondaw
 
mkuu kikuuu mizigo yako ikipotea unaweza kudai refund unapata double refund kama saa moja imepotea ukidai unapewa mbili..ni nzuri sana mizigo kupotea inatokea due to missallocation of cargo waweza kuwa Tanzania bahati mbaya ukaagiza mzigo na ukaset kabisa destination ni Tanzania lakini system ikakosea mzigo wako ukapelekwa congo...kuna utaratibu unatakiwa uufuate upate refund yako ni rahisi tu
Ni utaratibu gani huo mkuu,nmejaribu kuwatafuta bila mafanikio!!
 
Ni utaratibu gani huo mkuu,nmejaribu kuwatafuta bila mafanikio!!
kwenye App ya kikuu kuna sehemu imeandikwa my kikuu kisha nenda sehemu imeandikwa refund and return something like that....halafu fuata maelekezo ila kumbuka namba ya mzigo wako..mizigo yote ina special number utatakiwa uiweke sehemu ukiona umeshindwa chat live na muhudumu wao kwenye live chat kikuu
 
Back
Top Bottom