Kati ya Jumia na Kikuu nani zaidi?

Haijalishi kama ni Kikuu au Jumia, kinachojalisha ni hiyo bidhaa unatoka kwa nini...



Cc: mahondaw
 
Ni utaratibu gani huo mkuu,nmejaribu kuwatafuta bila mafanikio!!
 
Ni utaratibu gani huo mkuu,nmejaribu kuwatafuta bila mafanikio!!
kwenye App ya kikuu kuna sehemu imeandikwa my kikuu kisha nenda sehemu imeandikwa refund and return something like that....halafu fuata maelekezo ila kumbuka namba ya mzigo wako..mizigo yote ina special number utatakiwa uiweke sehemu ukiona umeshindwa chat live na muhudumu wao kwenye live chat kikuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…