Kati ya JWTZ na JKT, jeshi lipi bora zaidi?

Kati ya JWTZ na JKT, jeshi lipi bora zaidi?

JWTZ bora zaidi kulinda mipaka ya nchi
JKT ni sehemu ya JWTZ ni bora zaidi kwenye uzalishaji mali na kujitegemea
Polisi ni bora zaidi kwenye kulinda raia na mali zao
hivi kwenye uzalishaji ni kwa faida ya nani?yale mashamba si wanajilimia wao,wale mafundi na wengine au wenye fani ya udaktari si kwa ajili ya hapo tu jeshini
 
JWTZ na JKT lote jeshi tu lile lile, maana JWTZ leo kesho utasikia yupo kule ana report JKT
 
Back
Top Bottom