Kati ya Kipimo Cha Afya ya Uchumi wa Nchi ni Sekta ya Mabenki/Fedha.Kwa Faida ya Trilioni 2 za Mabenki Rais Samia anaonesha yeye ni mwamba wa Uchumi.

Kati ya Kipimo Cha Afya ya Uchumi wa Nchi ni Sekta ya Mabenki/Fedha.Kwa Faida ya Trilioni 2 za Mabenki Rais Samia anaonesha yeye ni mwamba wa Uchumi.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Kuna vipimo vingi vinavyotumika kupima Afya ya Uchumi wa Nchi.Baashi yake ni pamoja na
-Mfumuko wa bei
-Ukuaji wa GDP
-Urari wa Mauzo ya Nje
-Composition ya sekta Zinazoongoza Uchumi
-Uimara wa sekta ya Fedha/benki Kupitia faida.
-Uchumi unaozalisha Ajira

Sasa ukiangalia vigezo vingi hapo Juu Tanzania kama Nchi inafanya vizuri Sana lakini kwenye kigezo Cha sekta ya Fedha/Mabenki Nchi inafanya vizuri zaidi kiasi Cha kuandikisha rekodi na kuzivunia.

Ni katika awamu hii ya 6 ndipo Mabenki yameweka rekodi za Juu zaidi za faida na kuzivunja tena jambo linaloashiria Uchumi wa Nchi una Afya iliyonawiri.

View: https://www.instagram.com/p/DFe_LN3ux1e/?igsh=cDNqdmU0Z3huZGlu

My Take
Nitaendelea kumuunga mkono Mh.Rais maana ameonesha Kwa vitendo kwamba yeye ni reformist na Mwamba hasa wa Uchumi wa Nchi.

Nitaendelea kuyataja Mazuri ya Utawala wake bila kuchoka maana yanamnufaisha Kila Mtanzania anaejibidiisha kufanya kazi.

Namba hazidanganyi.

View: https://www.instagram.com/p/DFnkgu5IDpN/?igsh=MWprM2c0Mmc1d3UwZg==
 
Kuna vipimo vingi vinavyotumika kupima Afya ya Uchumi wa Nchi.Baashi yake ni pamoja na
-Mfumuko wa bei
-Ukuaji wa GDP
-Urari wa Mauzo ya Nje
-Composition ya sekta Zinazoongoza Uchumi
-Uimara wa sekta ya Fedha/benki Kupitia faida.

Sasa ukiangalia vigezo vingi hapo Juu Tanzania kama Nchi inafanya vizuri Sana lakini kwenye kigezo Cha sekta ya Fedha/Mabenki Nchi inafanya vizuri zaidi kiasi Cha kuandikisha rekodi na kuzivunia.

Ni katika awamu hii ya 6 ndipo Mabenki yameweka rekodi za Juu zaidi za faida na kuzivunja tena jambo linaloashiria Uchumi wa Nchi una Afya iliyonawiri.

View: https://www.instagram.com/p/DFe_LN3ux1e/?igsh=cDNqdmU0Z3huZGlu

My Take
Nitaendelea kumuunga mkono Mh.Rais maana ameonesha Kwa vitendo kwamba yeye ni reformist na Mwamba hasa wa Uchumi wa Nchi.

Nitaendelea kuyataja Mazuri ya Utawala wake bila kuchoka maana yanamnufaisha Kila Mtanzania anaejibidiisha kufanya kazi.

Namba hazidanganyi.

View: https://www.instagram.com/p/DFnkgu5IDpN/?igsh=MWprM2c0Mmc1d3UwZg==

Benki hupata faida kwa kutoza riba kwa wanaokopa fedha na kwa kuwekeza fedha zilizowekwa kama akiba na wateja wake. Vilevile benki zetu pia zina assets zenye thamani kubwa. Ni jambo zuri kuona benki zetu zikipaa lakini kuna policy zipi za Rais zilizochangia mafanikio haya?
 
Utashangaa CHADEMA wanapinga. Maana wao hata Elimu ya uchumi kwao ni giza vichwani mwao . Hakuna wanachojua zaidi ya kupiga Makele yao.
 
Nyie washirikina na wezi wa mali za umma kazi yeni ni moja tu kusifia upumbavu mpate mkate, hizo faidi na miradi kibao imesimama, kwa hiyo ni faida ya kujinufaisha yeye binafsi na nyie chawa wake au ni kwa manufaa ya umma?
 
Sawa faida ya trillion 2, waulize waliopata hiyo faida wanakwenda kuwekeza wapi hiyo faida ? Majibu yatasaidia sana kujua kama tunasonga mbele ama tumesimama tulipo!!!
Haya mashirikina hayana akili, hizo fedha zipo sehemu gani? watu wanalia kila kosa hakuna pesa
 
Back
Top Bottom