Kati ya Kipimo Cha Afya ya Uchumi wa Nchi ni Sekta ya Mabenki/Fedha.Kwa Faida ya Trilioni 2 za Mabenki Rais Samia anaonesha yeye ni mwamba wa Uchumi.

Kati ya Kipimo Cha Afya ya Uchumi wa Nchi ni Sekta ya Mabenki/Fedha.Kwa Faida ya Trilioni 2 za Mabenki Rais Samia anaonesha yeye ni mwamba wa Uchumi.

Benki hupata faida kwa kutoza riba kwa wanaokopa fedha na kwa kuwekeza fedha zilizowekwa kama akiba na wateja wake. Vilevile benki zetu pia zina assets zenye thamani kubwa. Ni jambo zuri kuona benki zetu zikipaa lakini kuna policy zipi za Rais zilizochangia mafanikio haya?
Hawa chawa wao wameambiwa waje kupandisha mabandiko hapa hawezi kueleza utapoteza muda wako
 
Back
Top Bottom