- Thread starter
- #21
Ikiwa ni Kwa HAKI na Utafiti, hapo nami nakuunga mkono.Kubadili mgombea ndio uamuzi sahihi.
Isijekuwa kama 2015 Kwa Mzee Lowassa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa ni Kwa HAKI na Utafiti, hapo nami nakuunga mkono.Kubadili mgombea ndio uamuzi sahihi.
Labda akawe diwani ktk moja ya kata pale Vwawa.Neno ni moja Tu kuwa ni CCM tu yenye uwezo wa kuiongoza Tanzania.Na ni Rais Samia tu aliye chaguo la mamilioni ya watanzania uchaguzi ujao.hiyo ndio kiu ya watanzania kuhitaji utumishi wa Rais samia mpaka 2030. CCM Ndio Tumaini la watanzania.
Really?2025 CHADEMA sisi tuko na mwamba Mbowe. Lissu asubiri kwanza au akagombee huko kwao US .
Utaratibu huo ungesambaa Nchi nzima.Musoma mjini pia ukiachana na uchafuzi mkuu uliopita mtindo huwa ni 5 tu.
Baada ya utafiti haki ikitendeka ni uamuzi sahihi kwa Chama chochote.Ikiwa ni Kwa HAKI na Utafiti, hapo nami nakuunga mkono.
Isijekuwa kama 2015 Kwa Mzee Lowassa!!
Na kipimo Cha mgombea au mtia Nia kutokubalika ni kuanza compaign mapema.Baada ya utafiti haki ikitendeka ni uamuzi sahihi kwa Chama chochote.
Kwamba mkt wa chama Fulani anavunja KANUNI!!Chama kitakosa wagombea kwa kosa hili. Maana majimboni saa hii ni watia nia na wabunge wanapishana kwa wajumbe hasa Wenyeviti na makatibu wa vyama.
Inabidi,tumeunganisha kofia na bado wabobevu mnataka kutuzidi akili sie tuishie awamu moja na sie tunataka awamu mbili kama wenyeviti wanaume. Mnatubagua kijinsia.Kwamba mkt wa chama Fulani anavunja KANUNI!!
Kofia mbili zingetenganishwa, haya mambo yangekoma.
Mamlaka hayana JINSIA.Inabidi,tumeunganisha kofia na bado wabobevu mnataka kutuzidi akili sie tuishie awamu moja na sie tunataka awamu mbili kama wenyeviti wanaume. Mnatubagua kijinsia.
Nakubaliana na wewe. Capacity tumeonyesha hadi ambazo hazikuwahi kuonekana kwa waliotangulia. Tuna movie mbili sasa.Anyway,nasisitiza point yangu ya mwanzo haki itanguliwe na tafiti za nani ni sahihi kwenye macho ya wengi.Mamlaka hayana JINSIA.
Capacity ndo kitu muhimu.
Movie mbili? 😀Nakubaliana na wewe. Capacity tumeonyesha hadi ambazo hazikuwahi kuonekana kwa waliotangulia. Tuna movie mbili sasa.Anyway,nasisitiza point yangu ya mwanzo haki itanguliwe na tafiti za nani ni sahihi kwenye macho ya wengi.
Tuna ile ya Pira na tuna na muigizaji wa kichina iko njiani. Mambo Motomoto. Watalii wa Amerika na Europa tunao na sasa tumeenda China na branches zake za Hongkong na nyingine. Tukimaliza Arabia moja. Lengo ni kuhakikisha sekta ya utalii inaletea taifa mapato zaidi kupitia watalii tunaowavutia. Yajayo kwa kweli yanafurahisha 😅Movie mbili? 😀
AmekuelewaKuna kitu unataka kukiadress lakini ni kama unafichaficha😀.
Anyway an opinion is not a fact