Kati ya Mabinti wazuri waliopata umaarufu na wakapata hasara uwezi kumkosa Tunda na Wema

Kati ya Mabinti wazuri waliopata umaarufu na wakapata hasara uwezi kumkosa Tunda na Wema

Wana JF

Wasalaam. Nianze kwa kusikitika kwa kumkosa Warumi, ambaye alikuwa anatupa burudani motomoto za vibweka vya wauza nyago Dar, tumekosa vitimbi vingi safari hii.

Leo katika viwanja vya mastaa katika operation pitisha macho, nawaona mastaa wawili wanaooenda kupoteza kutokana na umaarufu wao kuisha/kupungua vyanzo vikiwa kukosa ubunifu wa kuteka mashabiki wao, kingine umri kuacha mwili, kupungua kipato.

Muuza nyago Tunda ambaye hivi karibu kajaliwa mtoto, ni star ambaye kwenye ustaa wake alitajirisha tumbo tu, kwa kuwa ameishi sana kwenye hotel mpaka alipotulizwa kitenesi na mkwale mmoja Whoz, namwona kama star aliyepoteza kwani hakuwahi kuonyesha anavyovimiliki kutokana na kipato chake cha kudanga.

Mwingine ni Wema, Naye anazidi kupoteza kwani hata anazidiwa na wazee wakina Kajala bado wanatesa kwenye anga. Bora Uwoya ambaye analea mwanae huyu angalau anaonyesha ameivest kwa mtoto lakini Tunda na Wema ndio basi tena wajaribu njia mpya kwani kwenye tasinia hii tuna ingizo jipya Zuchu na Paula
tunda ana crown arthlete na ana nyumba yake kule bunju sjui kama kamaliza nilikuwa nambeba sana wakati nafnya uber na mpka sasa anaishi masaki kwenye appartments
 
Wana JF

Wasalaam. Nianze kwa kusikitika kwa kumkosa Warumi, ambaye alikuwa anatupa burudani motomoto za vibweka vya wauza nyago Dar, tumekosa vitimbi vingi safari hii.

Leo katika viwanja vya mastaa katika operation pitisha macho, nawaona mastaa wawili wanaooenda kupoteza kutokana na umaarufu wao kuisha/kupungua vyanzo vikiwa kukosa ubunifu wa kuteka mashabiki wao, kingine umri kuacha mwili, kupungua kipato.

Muuza nyago Tunda ambaye hivi karibu kajaliwa mtoto, ni star ambaye kwenye ustaa wake alitajirisha tumbo tu, kwa kuwa ameishi sana kwenye hotel mpaka alipotulizwa kitenesi na mkwale mmoja Whoz, namwona kama star aliyepoteza kwani hakuwahi kuonyesha anavyovimiliki kutokana na kipato chake cha kudanga.

Mwingine ni Wema, Naye anazidi kupoteza kwani hata anazidiwa na wazee wakina Kajala bado wanatesa kwenye anga. Bora Uwoya ambaye analea mwanae huyu angalau anaonyesha ameivest kwa mtoto lakini Tunda na Wema ndio basi tena wajaribu njia mpya kwani kwenye tasinia hii tuna ingizo jipya Zuchu na Paula
Kila Zama na Zama Zake
 
Wana JF

Wasalaam. Nianze kwa kusikitika kwa kumkosa Warumi, ambaye alikuwa anatupa burudani motomoto za vibweka vya wauza nyago Dar, tumekosa vitimbi vingi safari hii.

Leo katika viwanja vya mastaa katika operation pitisha macho, nawaona mastaa wawili wanaooenda kupoteza kutokana na umaarufu wao kuisha/kupungua vyanzo vikiwa kukosa ubunifu wa kuteka mashabiki wao, kingine umri kuacha mwili, kupungua kipato.

Muuza nyago Tunda ambaye hivi karibu kajaliwa mtoto, ni star ambaye kwenye ustaa wake alitajirisha tumbo tu, kwa kuwa ameishi sana kwenye hotel mpaka alipotulizwa kitenesi na mkwale mmoja Whoz, namwona kama star aliyepoteza kwani hakuwahi kuonyesha anavyovimiliki kutokana na kipato chake cha kudanga.

Mwingine ni Wema, Naye anazidi kupoteza kwani hata anazidiwa na wazee wakina Kajala bado wanatesa kwenye anga. Bora Uwoya ambaye analea mwanae huyu angalau anaonyesha ameivest kwa mtoto lakini Tunda na Wema ndio basi tena wajaribu njia mpya kwani kwenye tasinia hii tuna ingizo jipya Zuchu na Paula
hii habari nimeikuta global eti 😅😅😅
 
Back
Top Bottom