G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Mkipata jibu msionge nasi kabisa kuhusu ukubwa wetu kimataifa! Kumbe Mwaka 1995 Malindi(Zanzibar) iliwahi kufikia hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya Etoile du sahel na kutolewa Kwa penati 4-3, heh!
Kumbe kimataifa walishafika mbali hata zaidi ya Yanga( wazee wa Historia) walio wekwa kwenye group moja Mwaka Fulani na akina Gor Mahia na kale katimu Ka Rwanda na wakatoka hata bila pointi! Happy New Year Jamani, Msitowe Povu, kweli inauma eeh! Kati ya Malindi na Yanga Nani mkubwa kimataifa?
Kumbe kimataifa walishafika mbali hata zaidi ya Yanga( wazee wa Historia) walio wekwa kwenye group moja Mwaka Fulani na akina Gor Mahia na kale katimu Ka Rwanda na wakatoka hata bila pointi! Happy New Year Jamani, Msitowe Povu, kweli inauma eeh! Kati ya Malindi na Yanga Nani mkubwa kimataifa?