Kati ya Marehemu Mengi na MO Dewji nani bingwa wa kusaka hela?

Kati ya Marehemu Mengi na MO Dewji nani bingwa wa kusaka hela?

Umedanganywa Mengi ndo tajiri kaupata kirahisi bila ya kutumia nguvu na asingefika hapo.

Tambua kupitia CPA yake na alikuwa anafanya kazi ya kuajiriwa baadae Nyerere aliona pawe na sera ya kuwapa kipaumbele wazawa kuwa matajiri ndo jamaa akapewa mitaji ya kumanange bila ya mortgage wala collateral.

Usidanganywa Mengi hamna kitu ilikwua easy kusurvive kwa vile competition ilikuwa ndogo na alipewa kipaumbele kama mzawa acha kudanganywa na vitabu vya porojo mule ndani pameandika upupu mtupu.
Duh! Tutasikia mengi.
 
mkuu unatupa waswas na kiwango chako Cha akili ya utambuzi

nakuachia dondoo kadhaa ambazo zitakusaidia ukipevuka akili


*hakuna aliyewahi kutoboa A___Z bila bila kushikwa mkono (hii huwa Ni siri na tunaishi kwa kutegemeana)

*unaweza kupewa laki uipandishe ifike million ndan ya miez 5 ukashindwa (Hilo pia lifikirie Mara mbili)

*unadhani MO ndiye kijana pekee aliyewahi kukua na kukuta hela kwenye bank account??? .kwann amekuw kinara au akitajwa sana kuliko wengne.

*Ni vijana wangapi unaowajua waliwahi pewa mitaji au kuachiwa biashara baada ya kipind kifupi miradi ikafa ,kwann

*unayajua maisha ya kuifanya 100 iwe 1000???



nahitimisha kwa kukuuliza

** umeshawahi kukaa na MO akakuhadithia hustle alizofanya Hadi kuwepo pale?? ama Ni stroy tuu unasikia

** uliwahi kukaa na Mengi akakwambia aliwahi kuuza karanga Hadi kuwa tajiri vile na hakushikwa na mtu? au story tu unasimuliwa

**WEWE HAPO KUNA ANAYEJUA NJIA ULIZOPITIA KUWEPO HAPO ULIPO?? NAMAANISHA ZILE (BLACK N WHITE)
"I can, I must, I will. The Spirit of Success" ni inspiration yangu.
Unaweza kuwataja waliomshika mkono Mengi?
 
Duh! Tutasikia mengi.

Mengi ndo wa kwanza kama sijakosea kupata CPA na alikuwa ameajiriwa kipind kile alikuwa na fursa kibao na sera ya kuwabeba wazawa ilimbeba chini ya Nyerere.

Hakuna mtoto anayeanzia chini atajifunza kitu kutoka kwa Mengi ,hakuwa wa familia ya ovyo kama wanadai na tambua enzi zile kusoma walikuwa ni wale watoto wa machief na watu wanaojiweza ndo wanasoma mpaka kufika mbali ...Wengi mdanganganywa Mengi hakutokea familia duni la wala hakuhustle kama mnavyodanganywa
 
"I can, I must, I will. The Spirit of Success" ni inspiration yangu.
Unaweza kuwataja waliomshika mkono Mengi?
Wa kwanza ni Nyerere chjni ya kumpa kipaumbele ,hafalu tambua hakutokea familia ya kimaskini izo kalamu lini kauza kama unao ushahidi kauza leta hapa .

Iyo slogan na kitabu kwa ujumla ni trash hamna cha maana ..Eti slogan yangu
 
Humjui late Mengi unaandika kishabiki bila kueleza mafanikio yake as a professional accountant! FYI by late 1970s to early 1980s alikuwa tayari managing partner wa Lyband Cooper iliyokuja ku-merge na ku-form PWC the first indigenous to partner n manage an auditing firm hata ukunyani hakukuwa na black Africans levels hizo! AND at the age of below 30 years!
Sasa wewe hapo umemshabikia au umemponda? Mapaparazi wa Manzese bhana!
 
Back
Top Bottom