Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
😂😂😂 ilaaa.Mkeo akiwa mjamzito anayamaliza kwa kuyabwia
Tukiacha utani, itakuwa nyumba za choma zina afya zaidi maana zipo kiasili hadi zinalika😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 ilaaa.Mkeo akiwa mjamzito anayamaliza kwa kuyabwia
Hiki kiwanda kipo wapi? Nikihitaji bidhaa nawapataje?View attachment 1879512 mfano hizi zina clay content 44% , udongo ulichakatwa ukaingizwa kwenye machine zikakandamizwa kwa kiwango cha 9 MPa ( wataalam walivyotuelezea), then hapo zikapangwa tayari kwa uchomaji.
You can DM me or call +255783030101 nikuassist further informations kulingana na uhitaji wakoHiki kiwanda kipo wapi? Nikihitaji bidhaa nawapataje?
Au basi vifaa vya kuumba tofali na kukandamiza.
Kiufupi nikizitaka tofali kama hizo, tunafanyeje?