Kati ya Maulidi Kitenge na Masoud Kipanya nani zaidi kwenye yafuatayo...

Kidogo umenishawishi,,..
Mimi namfaham kitenge kama kijana wa kikwete..
Kikwete ni baba mlezi wa maulid..
Kikwete na mzee baraka kitenge alikua mchezaji wa zamani wa yanga walikua marafiki sana enz za ukariakoo..
So inawezekana mzee kikwete ndio alomuimgiza huko ndugu maulid..
 
Yaah hata ile issue ya Oscar Oscar kuoa mwanamke wa kizungu kutoka Marekani ile ni special mission, sema small minded hawawezi kuelewa hapa
Huyu ndo namfaham vizuri sna
100% tiss people..
Hata kugombea urais tff alikua kazini kumsafishia njia mwana kitengo mwenzie kutoka tanga.
 
Very true mkuu,,..
 
Mi nimeanza kumsikia KP wakati tuko shule na maulidi kitenge pale Al-Haramain
Nalog off
 
Yaani ningekuwa public figure ningekuwa najiandaa endapo nina mahojiano na KP, Lakini wanahabari wote waliobaki hata uniamshe saa nane usiku siogopi kufanya nao mahojiano, Masudi alinibananishia prof lipumba hadi nikahisi masudi ndio prof
 
Yaani ningekuwa public figure ningekuwa najiandaa endapo nina mahojiano na KP, Lakini wanahabari wote waliobaki hata uniamshe saa nane usiku siogopi kufanya nao mahojiano, Masudi alinibananishia prof lipumba hadi nikahisi masudi ndio prof
Kile kichwa
 
Uzi umejaa swahili,unaa, ujuaji na ujinga wa vichochoroni hukooo
 
Hivi unaijua story ya masoud kipanya enzi zile utawala wa hayati Benjamin William Mkapa?, acha kumfananisha Kipanya na TISS Kitenge.....Nitakuja na uzi hapa kumuhusu Kipanya acha kwanza mwananzengo mwenzetu atulie kipindi hiki cha majonzi ya msiba wa Malcom [emoji1431]
 
Teeth kitenge kamaliza kazi alotumwa wasafi,,..
Kashachonga brbr na kuchimba mahandaki.
 
Acha kumfananisha kipanya na hilo shoga.
Anasafiri kwenda nje kupigwa mpini bongo wanaa wengi
Aisee sema jamaa safari za hasa marekani hazikauki ni Kama vile analipwa mshahara bure tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…