Kati ya Maulidi Kitenge na Masoud Kipanya nani zaidi kwenye yafuatayo...

Kati ya Maulidi Kitenge na Masoud Kipanya nani zaidi kwenye yafuatayo...

Watu wa kitengo wanafanya sana kazi za kiboya hata kama Kitenge hausiki nazo, kama imekugusa kiaina just take a chill pill and get a good feel.
Mwamba ana makasiriko sana
 
Wana mmenimind sana haina noma acha nikaushe...... ila muache ufala wenu... kuruka deile na chopa eti kazi maalum kazi gani hizo ? Nchi haina hata kinu cha nyuklia eti usalama,, usalama gani huo... nendeni israel au iran huko ndo mtajua usalama ni kitu gani.... bongo maigizo tu na kutumia kodi za wananchi vibaya hatuna usalama wala nn.....
ndo nyie mkipewa kazi miezi miwili tu mshanenepa kwa bia na kitimoto
 
Wana mmenimind sana haina noma acha nikaushe...... ila muache ufala wenu... kuruka deile na chopa eti kazi maalum kazi gani hizo ? Nchi haina hata kinu cha nyuklia eti usalama,, usalama gani huo... nendeni israel au iran huko ndo mtajua usalama ni kitu gani.... bongo maigizo tu na kutumia kodi za wananchi vibaya hatuna usalama wala nn.....
ndo nyie mkipewa kazi miezi miwili tu mshanenepa kwa bia na kitimoto
Nchi ina vijana wa hovyo sana hii
 
Wana mmenimind sana haina noma acha nikaushe...... ila muache ufala wenu... kuruka deile na chopa eti kazi maalum kazi gani hizo ? Nchi haina hata kinu cha nyuklia eti usalama,, usalama gani huo... nendeni israel au iran huko ndo mtajua usalama ni kitu gani.... bongo maigizo tu na kutumia kodi za wananchi vibaya hatuna usalama wala nn.....
ndo nyie mkipewa kazi miezi miwili tu mshanenepa kwa bia na kitimoto
Kwamba kitenge ni TISS 😂😂😂 moja ya kilevi kipya hapa mjini🚶 inaonekana mission yake ni special force 🚴🚴⛷️ kila mda chopa, TISS wenzake ni wala mihogo
 
Back
Top Bottom