joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Huo uhuru wa kuongea uliopewa/uliokuwa nao,husi utumie kuharibu brand za watu walizo zijenga kwa jasho jingi sana.Acha kumfananisha kipanya na hilo shoga.
Anasafiri kwenda nje kupigwa mpini bongo wanaa wengi
Huu ufala wa wabongo bana.... we mtanzania utaipeleleza marekani kwa kitu gani ? Ili upate nini ? Uige nini ? Udhibiti nini ? Yani maulidi akapeleleze nchi za nje kweli ? Kwa taarifa gani hasa ?Maulidi Kitenge ni Mwanausalama wa TISS ambaye miaka ya hivi karibuni alibadilishwa kitengo na kuwa anahusika upelelezi wa mataifa ya nchi za nje kwa mwamvuli wa Journalist
Anafanya journalist for leisure and hobby and not his work, ukija PM nitakupa force number yake
Ww Legeza misuli ya kichwa hicho na acha makasiriko, hujui kule kuna ubalozi wa Tanzania, hujui kuna watanzania waishio kule na maulid haendi USA tu, hadi nchi za Ulaya, sema siwezi kutumia nguvu kubwa kuelezea mtu mpumbavuHuu ufala wa wabongo bana.... we mtanzania utaipeleleza marekani kwa kitu gani ? Ili upate nini ? Uige nini ? Udhibiti nini ? Yani maulidi akapeleleze nchi za nje kweli ? Kwa taarifa gani hasa ?
KP hadi yake ni hilal, zuhura yunusKipanya unamfananishaje na huyo Kitenge,Kipanya yuko juu,KP mlinganishe na wa hadhi yake wakina Captain G.
Weeeee!me ninavyojua kuwa Kitenge ni agent wa CIA Tz.
Acha porojo..jikite kwenye mada..Shame on you!, very disappointing to have you in this conversations, OK am wrong brother
Acha porojo..jikite kwenye mada..
Huyo Kitenge unayesema kusafiri kwake ni kazi ya kitengo anafanya leta mfano wa informations anazoenda kutafuta huko USA kila muda..leta mfano tuone kuwa una hoja.
How our Embassy working in those foreign countries in the process of promoting good relation with those countryAcha porojo..jikite kwenye mada..
Huyo Kitenge unayesema kusafiri kwake ni kazi ya kitengo anafanya leta mfano wa informations anazoenda kutafuta huko USA kila muda..leta mfano tuone kuwa una hoja.
[emoji23]Masudi ni TOSS
Stori za kitoto, Kitenge atapeleleza kitu gani Marekani?Maulidi Kitenge ni Mwanausalama wa TISS ambaye miaka ya hivi karibuni alibadilishwa kitengo na kuwa anahusika upelelezi wa mataifa ya nchi za nje kwa mwamvuli wa Journalist
Anafanya journalist for leisure and hobby and not his work, ukija PM nitakupa force number yake
Respect Masoud please1. Ukwasi
2. Ubontaun
3. Busara
4. Eposure
5. English Kali
6. Kampani pr na washkaji
AiseeYaah hata ile issue ya Oscar Oscar kuoa mwanamke wa kizungu kutoka Marekani ile ni special mission, sema small minded hawawezi kuelewa hapa
Small brain can't understand this, but stay at your own placeStori za kitoto, Kitenge atapeleleza kitu gani Marekani?
Heshma yako mkuu..How our Embassy working in those foreign countries in the process of promoting good relation with those country
To supervise political relation via our embassy
And how can you know about the Ambassador in our embassy is doing great or otherwise without TISS
Note:If u need more clarifies please u have to PM
Sometimes people must understand, without TISS how can u know about our embassy And the Ambassador on how they keep things right for sake of our countryHeshma yako mkuu..