- Thread starter
- #21
Sawa, wanafanya kilimo gani hayo maeneo mkuuNenda Ruvuma i.e.Songea uelekeo Namtumbo...Kuanzia Lumecha mpaka maeneo ya Utwango,waweza sogea mpaka kwa Binti Ndembo au hata Litola mpaka Chengena,patakufaa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, wanafanya kilimo gani hayo maeneo mkuuNenda Ruvuma i.e.Songea uelekeo Namtumbo...Kuanzia Lumecha mpaka maeneo ya Utwango,waweza sogea mpaka kwa Binti Ndembo au hata Litola mpaka Chengena,patakufaa sana.
Mahindi, mbaazi , mpunga I mean all cereal cropsSawa, wanafanya kilimo gani hayo maeneo mkuu
Mtu unaweza kupata ekari 200 na kuendelea za kukodi?Mahindi, mbaazi , mpunga I mean all cereal crops
Njoo Dar ufungue danguro, inalipa zaidi.Salamu zenu wakuu, natumai mu wazima.
Nina uhitaji wa kufahamu kiundani zaidi, upi kati ya mkoa tajwa hapo juu una fursa za uwekezaji?
Nafahamu mikoa hiyo ni mashuhuli kwa vilimo mbalimbali. Je, biashara gani ya kufanya huku ukiwa unajihusisha na kilimo? kilimo gani, wilaya gani?
Sipendelei maeneo ya mjini. Naombeni mnisaidie kijana mwenzenu nakipenda kilimo japo nimekuzwa mjini ila nia thabiti, ninayo shida pa kuanzia.
Siwezi kukuhakikishia sana . Lkn is possible ukienda field ndio utajua yes or noMtu unaweza kupata ekari 200 na kuendelea za kukodi?