Kati ya Mbeya, Iringa au Songea ni sehemu gani sahihi kuwekeza?

Nenda Ruvuma i.e.Songea uelekeo Namtumbo...Kuanzia Lumecha mpaka maeneo ya Utwango,waweza sogea mpaka kwa Binti Ndembo au hata Litola mpaka Chengena,patakufaa sana.
Sawa, wanafanya kilimo gani hayo maeneo mkuu
 
Njoo Dar ufungue danguro, inalipa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…