Kati ya Mbowe na Sabaya nani amebambikiwa kesi?

Kati ya Mbowe na Sabaya nani amebambikiwa kesi?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
June 4 alipopandishwa kizimbani Sabaya kwa tuhuma za ujambazi na uhujumu uchumi, wafuasi na wanachama wa Chadema walipiga mayowe na kufurahia.

WanaCcm wakapiga kelele kudai kuwa Sabaya ametolewa kafara ili kumridhisha Mbowe, hii ni sababu Sabaya alimdhibiti na kumfurusha Mbowe kwenye siasa za wilaya ya Hai.

Haujapita hata Mwezi Mbowe amepandishwa kizimbani tena kwa tuhuma mbaya na nzito za ugaidi.

Wanachama na wafuasi wa Chedema wanadaia amebambikiwa kesi, kisa tu anadai katiba mpya. Huku wanaCcm wakikenua meno na kudai ni gaidi.

Je, Kati ya hawa mahabusu wawili, nani ambae amebambikiwa kesi?
 
June 4 alipopandishwa kizimbani Sabaya kwa tuhuma za ujambazi na uhujumu uchumi, wafuasi na wanachama wa Chadema walipiga mayowe na kufurahia.

WanaCcm wakapiga kelele kudai kuwa Sabaya ametolewa kafara ili kumridhisha Mbowe, hii ni sababu Sabaya alimdhibiti na kumfurusha Mbowe kwenye siasa za wilaya ya Hai.

Haujapita hata Mwezi Mbowe amepandishwa kizimbani tena kwa tuhuma mbaya na nzito za ugaidi.

Wanachama na wafuasi wa Chedema wanadaia amebambikiwa kesi, kisa tu anadai katiba mpya. Huku wanaCcm wakikenua meno na kudai ni gaidi.

Je, Kati ya hawa mahabusu wawili, nani ambae amebambikiwa kesi?
Mwamba
 
Acha kujifanya punguani.

Uhalifu wa sabaya upo waziwazi kabisa mpaka video na picha zipo ila Mbowe uhalifu wake ni kuandaa kongamano la katiba
 
June 4 alipopandishwa kizimbani Sabaya kwa tuhuma za ujambazi na uhujumu uchumi, wafuasi na wanachama wa Chadema walipiga mayowe na kufurahia.

WanaCcm wakapiga kelele kudai kuwa Sabaya ametolewa kafara ili kumridhisha Mbowe, hii ni sababu Sabaya alimdhibiti na kumfurusha Mbowe kwenye siasa za wilaya ya Hai.

Haujapita hata Mwezi Mbowe amepandishwa kizimbani tena kwa tuhuma mbaya na nzito za ugaidi.

Wanachama na wafuasi wa Chedema wanadaia amebambikiwa kesi, kisa tu anadai katiba mpya. Huku wanaCcm wakikenua meno na kudai ni gaidi.

Je, Kati ya hawa mahabusu wawili, nani ambae amebambikiwa kesi?
Bavicha kwa sabaya wanaona iko sawa ila kwa gaidi mbowe sio sawa!
Hovyo sana hawa jamaa
 
Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi wa wanyampara saivi, kwa kuwa kufungwa kwa makamanda ni sunna, tupige bia makamanda kufurahia Gaidi Mbowe kuwekwa anako stahili.
 
June 4 alipopandishwa kizimbani Sabaya kwa tuhuma za ujambazi na uhujumu uchumi, wafuasi na wanachama wa Chadema walipiga mayowe na kufurahia.

WanaCcm wakapiga kelele kudai kuwa Sabaya ametolewa kafara ili kumridhisha Mbowe, hii ni sababu Sabaya alimdhibiti na kumfurusha Mbowe kwenye siasa za wilaya ya Hai.

Haujapita hata Mwezi Mbowe amepandishwa kizimbani tena kwa tuhuma mbaya na nzito za ugaidi.

Wanachama na wafuasi wa Chedema wanadaia amebambikiwa kesi, kisa tu anadai katiba mpya. Huku wanaCcm wakikenua meno na kudai ni gaidi.

Je, Kati ya hawa mahabusu wawili, nani ambae amebambikiwa kesi?
Mbowe alienfluence Sabaya akamatwe kwa kubambikiwa tuhuma za ujambazi kumbe mwenyewe ni gaidi
 
Hai palikuwa hatari sana, walikuwa na Mbunge gaidi na Mkuu wa wilaya jambazi..kama sinema 🐒
 
Hai palikuwa hatari sana, walikuwa na Mbunge gaidi na Mkuu wa wilaya jambazi..kama sinema 🐒
Tanzania hakuna polisi kuweza kujua gaidi. Hao polisi wenyewe wana mavyei FEKI.
MBOWE SIYO GAIDI ATATOKA KAMA RWAKATARE
 
June 4 alipopandishwa kizimbani Sabaya kwa tuhuma za ujambazi na uhujumu uchumi, wafuasi na wanachama wa Chadema walipiga mayowe na kufurahia.

WanaCcm wakapiga kelele kudai kuwa Sabaya ametolewa kafara ili kumridhisha Mbowe, hii ni sababu Sabaya alimdhibiti na kumfurusha Mbowe kwenye siasa za wilaya ya Hai.

Haujapita hata Mwezi Mbowe amepandishwa kizimbani tena kwa tuhuma mbaya na nzito za ugaidi.

Wanachama na wafuasi wa Chedema wanadaia amebambikiwa kesi, kisa tu anadai katiba mpya. Huku wanaCcm wakikenua meno na kudai ni gaidi.

Je, Kati ya hawa mahabusu wawili, nani ambae amebambikiwa kesi?
sasa unatuambia halafu unatuuliza kitu ulichotuambia tayari
 
Tena mbowe ni gaidi wa standard gauge pia achunguzwe vzr yule mukya akimpataje kama alimtolesha kitu ili ampe ubunge aunganishwe kwenye rushwa ya ngono.
 
Back
Top Bottom