Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Shuleni tumefundishwa kuwa nchi ya kwanza kupata uhuru ni Ghana, mwaka 1957. Lakini Egypt ilipata Uhuru wake mwaka1952. Ikiondoa waingereza na mfalme.
Sasa imekaaje tukasema Ghana ndiyo ya kwanza kupata uhuru?
Sasa imekaaje tukasema Ghana ndiyo ya kwanza kupata uhuru?