Kati ya Misri na Ghana, ipi ilikuwa nchi ya kwanza Africa kupata uhuru?

Kati ya Misri na Ghana, ipi ilikuwa nchi ya kwanza Africa kupata uhuru?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Shuleni tumefundishwa kuwa nchi ya kwanza kupata uhuru ni Ghana, mwaka 1957. Lakini Egypt ilipata Uhuru wake mwaka1952. Ikiondoa waingereza na mfalme.

Sasa imekaaje tukasema Ghana ndiyo ya kwanza kupata uhuru?
 
Back
Top Bottom