kutokana na hii picha, hapo ngoma droo.
Lakini in general cases, mke anakuaga muongo zaidi kwenye kujitetea kwa sababu mara nyinyi wanawake hawana ubabe. Mme huwaga anatumia utemi zaidi ya uongo kwenye kujitetea akiwa ameshaharibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.