Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Habari zenu wadau. Naomba kujua tafadhali. Kipi bora kati ya hivi : 1. Ninunue mpunga nikoboe zitoke kilo elfu moja niweke ndani kwa ajili ya matumizi ya familia. Au ninunue mpunga, niweke ndani then niwe nakoboa debe kumi kumi za mpunga kila baada ya miezi miwili au mitatu.
Debe moja la mpunga = Shilingi ELfu SITA. Linatoa kilo kumi na 4 hadi kumi na tano za mchele.
Debe mia = shilingi laki sita ambazo ni = kilo elfu na mia 2 hadi elfu moja na mia tano za mchele.
wataalamu naomba mnielekeze tafdhali. Nataka kujua kama kipi kinawahi kuharibika kati ya mpunga na mchele
with much thanks in advance
Debe moja la mpunga = Shilingi ELfu SITA. Linatoa kilo kumi na 4 hadi kumi na tano za mchele.
Debe mia = shilingi laki sita ambazo ni = kilo elfu na mia 2 hadi elfu moja na mia tano za mchele.
wataalamu naomba mnielekeze tafdhali. Nataka kujua kama kipi kinawahi kuharibika kati ya mpunga na mchele
with much thanks in advance